• Malamiko |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Wafanyakazi |
Biharamulo District Council Website
Biharamulo District Council Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Misingi
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
    • Ratiba ya vikao
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali

Ardhi na Maliasili

IDARA YA ARDHI NA MALIASILI NA MAJUKUMU YAKE

Kusimamia utekelezaji wa sera na sheria za ardhi, Hifadhi za Maliasili na Mazingira

Kuandaa makikisio ya shughuli za kawaida na maendeleo ya Idara ya Ardhi, Maliasili na Mazingira

Kusimamia shughuli zote za maendeleo katika idara

Inaandaa taarifa ya shughuli zote ambazo zinafanywa na idara ya Ardhi, Maliasili na Mazingira

Idara inato elimu kwa jamii kuhusu kumiliki ardhi, matumizi endelevu ya maliasili na Mazingira.

Kutayarisha mipango ya matumizi bora ya ardhi mjini na vijijini kwa ajili ya kulinda rasilimali za ardhi kwa vizazi vilivyopo na vijavyo.

Kutayarisha michoro ya mipango miji, kuongeza na kudhibiti uendeshaji holela wa ardhi

Kushirikisha jamii kutayarisha mipango ya matumizi ya ardhi, kuwasilisha michoro ya mipango miji katika vikao vya Halmashauri ya Wilaya

Kusimamia sera ya makazi na sheria ya mipango miji

Kutoa elimu ya sheria ya mipango miji kwa umma

Kudhibiti ujenzi holela mjini

KAIMU MKUU WA IDARA NOVATUS KAINDOA .NO, SIMU 0756357854          

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2019
  • TANGAZO LA AJIRA August 07, 2019
  • KUITWA KWENYE USAILI August 09, 2019
  • UKUSANYAJI WA MAPATO YA HALMASHAURI YA WILAYA BIHARAMULO January 14, 2019
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • Biharamulo na Mitihani ya kumaliza Elimu ya Msingi (PSLE) 2019.

    September 10, 2019
  • MAAGIZO YA BRIGEDIA JEN. MARCO ELISHA GAGUTI KWA HALMASHAURI YA WILAYA YA BIHARAMULO.

    July 17, 2019
  • UZINDUZI WA BARAZA LA WAFANYABIARA WILAYA YA BIHARAMULO

    July 05, 2019
  • KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE AGOMEA UZINDUZI WA MIRADI MIWILI WILAYANI BIHARAMULO

    May 01, 2019
  • Tazama zaidi

Video

UZINDUZI WA HIFADHI YA TAIFA BURIGI
Video Zaidi

Kuarasa za Haraka

  • Historia

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Tovuti ya Manispaa ya Bukoba
  • Tovuti ya wilaya ya Muleba
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI)
  • Tovuti ya Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Kuwasiliana nasi

    Mtaa wa Bomani

    Sanduku la Barua: S.L.P 70

    Telephone: 028 2223403

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@biharamulodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya Biharamulo. Haki zote zimehifadhiwa