• Malamiko |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Wafanyakazi |
Biharamulo District Council Website
Biharamulo District Council Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Misingi
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
    • Ratiba ya vikao
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali

Elimu Sekondari

IDARA YA ELIMU SEKONDARI NA MAJUKUMU YAKE

Kuwakilisha Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi na katika ngazi zote kuhusu masuala ya Elimu Sekondari

Kufafanua na kusimamia utekelezaji wa sera ya Elimu na mafunzo ya ufundi, sheria na kanuni zinnazoongoza utoaji wa elimu ya Sekondari

Kumshauri Mkurugenzi wa Halmashauri kuhusu masuala ya Elimu Sekondari

Kusimamia upanuzi wa elimu Sekondari katika Halmashauri

Kusimamia haki na maslahi ya walimu na watumishi wengine wa ngazi ya Elimu ya Sekondari katika Halmashauri

Kusimamia na kudhibiti akaunti ya Elimu Sekondari zinatumika kama ilivyokusudiwa

Kutayarisha na kusimamia utekelezaji wa mipango ya maendeleo ysa elimu Sekondari kila mwaka

Kufuatilia na kutathimini maendeleo ya elimu ya Sekondari katika Halmashauri,Kuhimiza shule zote za Sekondari kuinua ubora wa mazingira ya kujifunzia na kufundisha ikiwa ni pamoja na kujenga madarasa, nyumba za walimu na vyoo

Kuhimiza udhibiti wa nidhamu ya walimu na wanafunzi wa shule za Sekondari katika Halmashauri

Kufuatilia utekelezaji wa taarifa za ukaguzi wa shule za Sekondari katika Halmashauri

Kusimamia maendeleo ya taaluma na michezo ya shule za Sekondari katika Halmashauri

Kuratibu, Kukusanya na kuchambua takwimu za elimu ya Sekondari katika Halmashauri

Kuhakikisha walimu wa shule za Sekondari wanapangwa katika Halmashauri kwa kuzingatia ikama inayokubalika

Kufanya kazi nyingine kama inavyoagizwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri.=

Kuratibu na kusimamia mitihani ya Kitaifa inayoendeshwa kwa kwa shule za Sekondari katika Halmashauri

Idadi ya shule Wilaya ya Biharamulo ina shule 21 za Sekondari,kati ya shule hizo shule 19 ni za Serikali na shule 2 za dhehebu la dini,kati ya shule 19 za Serikali shule moja bado haijasajiliwa,Aidha kuna shule 5 zenye A level ambazo ni Kagango yenye michepuo ya Sayansi na sanaa,Biharamulo yenye mchepuo wa sayansi,Nyakahura yenye mchepuo wa sanaa,Mubaba yenye mchepuo wa sayansi na Nyantakala yenye mchepuo wa sayansi na sanaa.

Idara ina watumishi wa ofisini 06,wanaume 02 na wanawake 04.Katika shule za Sekondari kuna walimu 521,wanaume 326 na wanawake 195, kuna walinzi waajiriwa 02, mpishi 01 na boharia mmoja wote hawa wako katika shule ya Sekondari Kagango.Shule nyingine wanatumia vibarua ambao shule husika inawalipa mishahara.

Wilaya ina wanafunzi 9,219 wakiwemo wavulana 5071 na wasichana 4,148.Kwa shule binafsi idadi ya wanafunzi ni 666 wavulana 302 wasichana 364

Hali ya miundombinu ya Wilaya ina mahitaji ya vyumba vya madarasa 227,madarasa yaliyopo ni 224 sawa na asilimia 98.7 Mahitaji ya vyumba za walimu ni 324 nyumba zilizopo ni 70 sawa na asilimia 21.6.Mahitaji ya maktaba ni 21 na maktaba zilizopo ni 21 sawa na asilimia 9.5.

Mahitaji ya maabara ni 54 maabara zilizokamilika ni 14 sawa na asilimia 25.9.Aidha mahitaji ya Hostel ni 36 na Hosteli zilizopo ni 11 sawa na asilimia 30.5

 MKUU WA IDARA  JUDITH KIBONA   076424447 .

Matangazo

  • UUZAJI WA VIWANJA KATIKA MAENEO YA NYAKANAZI November 13, 2020
  • KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2019
  • UKUSANYAJI WA MAPATO YA HALMASHAURI YA WILAYA BIHARAMULO January 14, 2019
  • TANGAZO LA NAFASI WAZI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA July 10, 2019
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • Waziri wa Tawala za Mikoa na Serilikali za Mitaa TAMISEMI

    January 07, 2021
  • UJENZI WA HOSPITALI YA WILAYA YA BIHARAMULO

    June 10, 2020
  • Biharamulo na Mitihani ya kumaliza Elimu ya Msingi (PSLE) 2019.

    September 10, 2019
  • MAAGIZO YA BRIGEDIA JEN. MARCO ELISHA GAGUTI KWA HALMASHAURI YA WILAYA YA BIHARAMULO.

    July 17, 2019
  • Tazama zaidi

Video

UZINDUZI WA HIFADHI YA TAIFA BURIGI
Video Zaidi

Kuarasa za Haraka

  • Historia

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Tovuti ya Manispaa ya Bukoba
  • Tovuti ya wilaya ya Muleba
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI)
  • Tovuti ya Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Kuwasiliana nasi

    Mtaa wa Bomani

    Sanduku la Barua: S.L.P 70

    Telephone: 028 2223403

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@biharamulodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya Biharamulo. Haki zote zimehifadhiwa