IDARA YA MIPANGO TAKWIMU NA UFUATILIAJI NA MAJUKUMU YAKE.
Idara inamshauri Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri juu ya masuala yahusuyo Mipango ya Maendeleo ya Kiuchumi na Kijamii katika Halmashauri.
Kusimamia uaandaaji na utekelezaji wa mpango mkakati wa Halmashauri
Kutafsiri miongozo ihusuyo maendeleo kutoka ngazi za juu kwa lengo la utekelezaji katika ngazi za Halmashauri,Kata na Vijiji
Kuratibu shughuli za program mbalimbali zinazotekelezwa katika eneo la Halmashauri
Kuwasilisha Mipango ya Maendeleo ya Halmashauri kwenye vikao vya Kamati ya Fedha,Mipango na Uongozi na Baraza kuu la Madiwani
Kudhibiti na kuanisha bajeti ya mwaka ya maendeleo na kutoa ushauri pale panapostahili
Kuwa Katibu wa kikao cha Menejimenti ya Halmashauri ya Wilaya(CMT)
Kuidhinisha Malipo yote ya miradi ya maendeleo ikiwa ni pamoja na program mbalimbali za maendeleo
Kufanya utafiti wa maeneo ya uwekezaji
Kuandaa maandiko ya miradi mbalimbali ya maendeleo
Kuanda taarifa za utekelezaji wa Miradi ya maendeleo za kila robo mwaka, na kuingizwa katika mfumo wa CDR pamoja na mkeka wa taarifa hizo na kuzituma kwa wakati, Kuandaa taarifa za Ilani ya Uchaguzi
MKUU WA IDARA COSTANINO MSEMWA.NO, SIMU 0628977017.
Mtaa wa Bomani
Sanduku la Barua: S.L.P 70
Telephone: 028 2223403
Simu ya Mkononi:
Barua Pepe: ded@biharamulodc.go.tz
Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya Biharamulo. Haki zote zimehifadhiwa