• Malamiko |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Wafanyakazi |
Biharamulo District Council Website
Biharamulo District Council Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Misingi
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
    • Ratiba ya vikao
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali

Biharamulo na Mitihani ya kumaliza Elimu ya Msingi (PSLE) 2019.

Posted on: September 10th, 2019

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo Bi, Wende Israel Ng’ahara, amesema Mtihani wa kumaliza Elimu ya Msingi (PSLE) 2019 utafanyika tarehe 11/9/2019 hadi 12/9/2019 siku ya jumatano na alhamisi kwa mujibu wa ratiba iliyo tolewa na Baraza la Mitihani Tanzania.

Amesema mwaka huu wa 2019 Wilaya inazo shule 88 zitakazo fanya Mitihani sawa sawa na mwaka 2018 kwa sababu hakuna ongezeko la Shule yoyote.

Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya amesema mwaka huu kuna mikondo 211 yenye watahiniwa 4,591 wakiwa ni Wavulana 2,233 na Wasichana 2,358, tofaut na mwaka 2018 ambapo kulikua na mikondo 191 yenye watahiniwa 4,246 Wavulana 1,992 na Wasichana 2254

Aidha amesema mchanganuo wa watahiniwa katika mfumo wa Kiswahili na mfumo wa Kingereza medium ni kama ifuatavyo,

Watahiniwa wa mfumo wa Kiswahili ni katika shule 85 zenye Wavulana 2,190 Wasichana 2,309 jumla 4,499 sawa na mikondo 206.  Amesema mwaka huu hakuna mwanafunzi mwenye uono hafifu.

Ameendelea kusema kuwa watahiniwa wa mfumo wa Kingereza (English Medium) ni Shule tatu ambazo ni St.Severine, Upendo English Medium na Victory English Medium zenye Wavulana 43 na Wasichana 49 jumla 92 sawa na mikondo mitano.

Aliendelea kusema kuwa matokeo ya Mtihani mwaka jana hakuna watahiniwa walio futiwa Mtihani katika Wilaya ya Biharamulo -hii ikimanisha hakukuwa na tuhuma za udanganyifu

Aidha Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya amethibitisha kuwa matokeo ya mwaka jana 2018 tulifaulisha kwa asilimia 91.6% ambapo Wilaya ilikuwa ya kwanza Kimkoa na ya kumi na moja Kitaifa ikilinganishwa na mwaka 2017 ambapo Wilaya ilifaulisha kwa asilimia 87.66% ikishika nafasi ya pili Kimkoa na nafasi ya kumi na tisa Kitaifa.


                  Imetolewa na Kitengo cha Habari na Mawasiliano BIHARAMULO

Matangazo

  • UUZAJI WA VIWANJA KATIKA MAENEO YA NYAKANAZI November 13, 2020
  • KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2019
  • UKUSANYAJI WA MAPATO YA HALMASHAURI YA WILAYA BIHARAMULO January 14, 2019
  • TANGAZO LA NAFASI WAZI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA July 10, 2019
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • Waziri wa Tawala za Mikoa na Serilikali za Mitaa TAMISEMI

    January 07, 2021
  • UJENZI WA HOSPITALI YA WILAYA YA BIHARAMULO

    June 10, 2020
  • Biharamulo na Mitihani ya kumaliza Elimu ya Msingi (PSLE) 2019.

    September 10, 2019
  • MAAGIZO YA BRIGEDIA JEN. MARCO ELISHA GAGUTI KWA HALMASHAURI YA WILAYA YA BIHARAMULO.

    July 17, 2019
  • Tazama zaidi

Video

UZINDUZI WA HIFADHI YA TAIFA BURIGI
Video Zaidi

Kuarasa za Haraka

  • Historia

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Tovuti ya Manispaa ya Bukoba
  • Tovuti ya wilaya ya Muleba
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI)
  • Tovuti ya Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Kuwasiliana nasi

    Mtaa wa Bomani

    Sanduku la Barua: S.L.P 70

    Telephone: 028 2223403

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@biharamulodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya Biharamulo. Haki zote zimehifadhiwa