• Malamiko |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Wafanyakazi |
Biharamulo District Council Website
Biharamulo District Council Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Misingi
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
    • Ratiba ya vikao
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali

KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE AGOMEA UZINDUZI WA MIRADI MIWILI WILAYANI BIHARAMULO

Posted on: May 1st, 2019

Kiongozi wa mbio za   Mwenge wa  Uhuru  Kwa mwaka huu 2019 Ndugu  Mzee Mkongea Ally amekataa kuzindua miradi miwili  Wilayani Biharamulo baada ya kuwa na wasiwasi  juu ya utekelezaji  wa miradi hiyo.

Kiongozi huyo amemuagiza Mkuu wa Wilaya ya Biharamulo Bi. Saada Malude kukabidhi mikataba ya miradi hiyo   TAKUKURU ili uchunguzi ufanyike na  apewe taarifa haraka sana.

Miradi hiyo ni Mradi wa Maji Ng’ambo  ambao thamani yake fedha za Kitanzania ilikuwa millioni mia nne, Mia tano na nane elfu na mianne, fedha hizi zimetolewa na Serikali kupitia Wizara ya Maji.

Mradi wa pili ni mradi wa ujenzi wa Barabara ya lami kilometa moja(Km 1) ambao thamani yake fedha za Kitanzania ilikuwa million mia mbili tisini  na nane, mia moja themanini na sita elfu,Mkandarasi wa mradi huu ilikuwa Kampuni ya Kajuna kutoka Wilayani Muleba.

Kufuatia  maagizo hayo Ofisi ya TAKUKURU inawashikilia Meneja wa TARULA  Eng. M. Lugw’echa Masuka na  Meneja wa Mamlaka ya Maji Biharamulo Mjni Ndg. Siraji Athumani Basiga kwa mahojiano zaidi.

Hata hivyo kiongozi huyo wa mbio za mwenge wa uhuru amepongeza miradi mitatu iliyotekelezwa vizuri miradi hiyo ni  mradi   bweni na vyumba vya madasa shule ya msingi Kabindi Kata ya Kabindi,Shamba la migomba Kata ya Nyabusozi  na ujenzi wa Wodi ya akinamama,watoto,Chumba cha kuhifadhia maiti,Maabara na nyumba ya mtumishi Kata ya Nemba.

Imetolewana kitengo cha Habari na Mawasiliano Biharamulo.


Matangazo

  • UUZAJI WA VIWANJA KATIKA MAENEO YA NYAKANAZI November 13, 2020
  • KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2019
  • UKUSANYAJI WA MAPATO YA HALMASHAURI YA WILAYA BIHARAMULO January 14, 2019
  • TANGAZO LA NAFASI WAZI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA July 10, 2019
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • Waziri wa Tawala za Mikoa na Serilikali za Mitaa TAMISEMI

    January 07, 2021
  • UJENZI WA HOSPITALI YA WILAYA YA BIHARAMULO

    June 10, 2020
  • Biharamulo na Mitihani ya kumaliza Elimu ya Msingi (PSLE) 2019.

    September 10, 2019
  • MAAGIZO YA BRIGEDIA JEN. MARCO ELISHA GAGUTI KWA HALMASHAURI YA WILAYA YA BIHARAMULO.

    July 17, 2019
  • Tazama zaidi

Video

UZINDUZI WA HIFADHI YA TAIFA BURIGI
Video Zaidi

Kuarasa za Haraka

  • Historia

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Tovuti ya Manispaa ya Bukoba
  • Tovuti ya wilaya ya Muleba
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI)
  • Tovuti ya Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Kuwasiliana nasi

    Mtaa wa Bomani

    Sanduku la Barua: S.L.P 70

    Telephone: 028 2223403

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@biharamulodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya Biharamulo. Haki zote zimehifadhiwa