• Malamiko |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Wafanyakazi |
Biharamulo District Council Website
Biharamulo District Council Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Misingi
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
    • Ratiba ya vikao
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali

KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: January 30th, 2021

Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango Mh. Leo Methew Rushahu

akishirikiana na  wajumbe wa kamati hiyo, wakagua miradi ya maendeleo

kipindi cha robo ya pili Oktoba hadi Desemba 2021.

Wajumbe hao wamekagua miradi ya Vijiji vya Katoke, Runazi, Kabindi,

Lusahunga, Kikomakoma, Nemba, Nyakanazi, Rusenga, Rubondo na

Ngararambe katika kata za Nemba, Nyarubungo, Runazi, Kabindi,

 Lusahunga, Kalenge na Nyakahura.

Miradi iliyokaguliwa na kamati hiyo ni pamoja na;-

  1. Ujenzi wa Hospitali ya Wilaya katika kijiji cha Katoke.
  2. Ujenzi wa vyoo vya wagonjwa matundu 5, sehemu ya haja ndogo (urinal) na bafu katika zahanati ya Runazi.
  3. Ujenzi wa madarasa mawili (2) Shule ya Msingi Kabindi .
  4. Ujenzi wa vyoo vya walemavu matundu mawili (2) na mfumo wa maji safi  katika majengo ya zahanati ya Kikomakoma.
  5. Ujenzi wa vyoo vya walemavu matundu mawili (2) na mfumo wa maji safi  katika jengo la OPD la kituo cha Afya Nemba.
  6. Mradi waujenzi wa  Maegesho ya magari Nyakanazi
  7. Ujenzi wa vyumba vya madarasa  14, jengo la utawala 1, nyumba ya walimu 2:1 moja na matundu ya vyoo 27 Shule ya msingi mpya Nyakanazi (Kaburaishoke).
  8. Ujenzi wa madarasa mawili (2) Shule ya Msingi Nyakanazi “B”.
  9. Ujenzi wa madarasa mawili (2) Shule ya Sekondari Nyakanazi.
  10. Ujenzi wa vyumba vya madarasa  matatu (3) na choo cha walimu matundu matatu (3) Shule ya msingi Rusenga.
  11. Ujenzi wa madarasa mawili (2) Shule ya Msingi Nyamalagala.
  12. Ujenzi wa madarasa mawili (2) Shule ya Msingi Muzani.

Ukaguzi huo umefanyika  tarehe  27.01.2021 hadi 28.01.202

Matangazo

  • UUZAJI WA VIWANJA KATIKA MAENEO YA NYAKANAZI November 13, 2020
  • KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2019
  • UKUSANYAJI WA MAPATO YA HALMASHAURI YA WILAYA BIHARAMULO January 14, 2019
  • TANGAZO LA NAFASI WAZI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA July 10, 2019
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    January 30, 2021
  • Waziri wa Tawala za Mikoa na Serilikali za Mitaa TAMISEMI

    January 07, 2021
  • UJENZI WA HOSPITALI YA WILAYA YA BIHARAMULO

    June 10, 2020
  • Biharamulo na Mitihani ya kumaliza Elimu ya Msingi (PSLE) 2019.

    September 10, 2019
  • Tazama zaidi

Video

UZINDUZI WA HIFADHI YA TAIFA BURIGI
Video Zaidi

Kuarasa za Haraka

  • Historia

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Tovuti ya Manispaa ya Bukoba
  • Tovuti ya wilaya ya Muleba
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI)
  • Tovuti ya Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Kuwasiliana nasi

    Mtaa wa Bomani

    Sanduku la Barua: S.L.P 70

    Telephone: 028 2223403

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@biharamulodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya Biharamulo. Haki zote zimehifadhiwa