• Malamiko |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Wafanyakazi |
Biharamulo District Council Website
Biharamulo District Council Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Misingi
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
    • Ratiba ya vikao
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali

UJENZI WA HOSPITALI YA WILAYA YA BIHARAMULO

Start Date: 2020-06-10
End Date: 2022-06-30

KUANZA KWA UJENZI WA HOSPITALI YA WILAYA YA BIHARAMULO MKOANI KAGERA.

Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo imepokea shilingimilioni miatano  kutoka Hazina kwa 

ajili ya ujenzi wa Hospitali ya Wilaya. Taarifa hiyo imetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa 

Wilaya Bi.Wende I. Ng’ahara alipokuwa akitoa taarifa ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo 

robo ya tatu kwenye kikao cha baraza la Madiwani leo.

Amesema fedha hizo ni sehemu ya billion moja, mia tano million zilizotengwa kugharimia ujenzi wa

Hospitali ya Wilaya. Amesema OR-TAMISEMI ilitoa mwongozo wa ujenzi wa Hospitali hiyo ambao 

pamoja na maelekezo mengine umeelekeza uundaji wa kamati za ujenzi kwa kutumia “Force Accaunt”

Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya Bi.Wende I. Ng’ahara amesema ujenzi huo utasimamiwa kwa ukaribu na

kufanyika kwa kuzingatia muda, viwango vilivyowekwa katika michoro ili kupata dhamani halisi ya fedha.

Amesema majengo yanayotarajiwa kujengwa ni pamoja na Jengo la utawala, Jengo la wagonjwa wa nje yaani

(OPD), Stoo ya dawa, Maabara,Jengo ya vipimo vya mionzi(x-ray),Jengo la kufulia nguo(Laundry) na

jengo la wazazi. Hospitali hiyo itajengwa Kata ya Nyarubungo Kijiji cha Katoke karibu na eneo za Zahanati ya

Katoke ambalo lilitolewa na Jimbo la Rulenge- Ngara ambalo lilikuwa eneo la Kanisa Katoloki tangu miaka ya

 1897 ambapo awali Askofu wa Jimbo la Rulenge Ngara Mhashamu Severine NIWEMUGIZI (SEVERINUS

NIWEMUGIZI EPISCOPUS RULENGENSIS NGARENSIS)  alisema anatoa eneo hilo ili litumike kadri ya

mipango ya Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo.Eneo hilo lina ukubwa wa ekari thelathini na moja(31)

Matangazo

  • UUZAJI WA VIWANJA KATIKA MAENEO YA NYAKANAZI November 13, 2020
  • KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2019
  • UKUSANYAJI WA MAPATO YA HALMASHAURI YA WILAYA BIHARAMULO January 14, 2019
  • TANGAZO LA NAFASI WAZI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA July 10, 2019
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • Waziri wa Tawala za Mikoa na Serilikali za Mitaa TAMISEMI

    January 07, 2021
  • UJENZI WA HOSPITALI YA WILAYA YA BIHARAMULO

    June 10, 2020
  • Biharamulo na Mitihani ya kumaliza Elimu ya Msingi (PSLE) 2019.

    September 10, 2019
  • MAAGIZO YA BRIGEDIA JEN. MARCO ELISHA GAGUTI KWA HALMASHAURI YA WILAYA YA BIHARAMULO.

    July 17, 2019
  • Tazama zaidi

Video

UZINDUZI WA HIFADHI YA TAIFA BURIGI
Video Zaidi

Kuarasa za Haraka

  • Historia

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Tovuti ya Manispaa ya Bukoba
  • Tovuti ya wilaya ya Muleba
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI)
  • Tovuti ya Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Kuwasiliana nasi

    Mtaa wa Bomani

    Sanduku la Barua: S.L.P 70

    Telephone: 028 2223403

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@biharamulodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya Biharamulo. Haki zote zimehifadhiwa