• Malalamiko |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Wafanyakazi |
Biharamulo District Council Website
Biharamulo District Council Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Misingi
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Divisheni
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Ushirika na Umwagiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Miundombinu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uasfi na Mazingira
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Furusa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba ya Vikao
    • Kamati za Kudumu
  • Miradi
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mapato na Matumizi Robo ya Tatu
    • Jarida la eGA Toleo 6 na 9
    • Bajeti ya Mwaka 2023-2024
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Mkutano wa Baraza la Madiwani
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Ofisi

UUZAJI WA VIWANJA KATIKA MAENEO YA NYAKANAZI

13 November 2020

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo anawatangazia wananchi wote raia wa Tanzania kuwa

Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo inauza viwanja katika maeneo ya Nyakanazi kama ifuatavyo:

  1. Kwamba viwanja vya makazi, viwanda vidogo na maeneo ya kujenga taasisi za Umma kama Ofisi, Shule za awali na
    maeneo ya kuabudia vimepimwa. viwanja husika viko barabara ya kuelekea Kigoma kilomita 2.5 kutoka njia
    panda ya Kahama/Kigoma/Lusahunga.
  2. Masharti

         (a)  Mwombaji atalazimika kujaza fomu ya maombi ambayoinapatikana Idara ya Fedha-Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo
                kwa kiasi cha Tsh. 20,000/= kwa kila kiwanja. Fedha hiyo haitarejeshwa.

         (b)  Mwombaji anaruhusiwa kukagua ramani na kwenda kuonyeshwa viwanja site na kuchagua kiwanja anachotaka.

         (c)  Mwombaji anatakiwa kulipa gharama za ununuzi baada ya kupewa control number ya kulipia kutoka Idara
               ya Fedha kadri atakavyopewa ancra ya malipo kulingana na ukubwa na matumizi ya kiwanja alichochagua.

        (d)  Malipo yote yafanyike na kukamilika ndani ya kipindi kisichozidi miezi mitatu.

        (e)  Kwamba malipo atakayolipia yanajumuisha na gharama za umilikishaji.

        (f)   Bei ya kiwanja itategemea ukubwa wa kiwanja na matumizi husika katika mchanganuo ufuatao:-

  • Viwanja vya makazi bei ni Tsh. 3,000/= kwa mita ya mraba
  • Viwanja vya viwanda vidogo bei ni Tsh. 3,500/= kwa mita ya mraba
  • Viwanja vya Umma ( matumizi ya Umma) bei ni Tsh. 2,000/= kwa mita ya mraba

                  Nyote mnakaribishwa

    Tangazo hili limetolewa na:
                                              Waziri K. Kombo
                                      Mkurugenzi Mtendaji (W) Biharamulo


            Bofya hapa kupakua Tangazo uuzaji wa viwanja.pdf

Matangazo

  • TANGAZO KUHUSU UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA August 30, 2024
  • TANGAZO LA KUSHIRIKI UCHACUZI WA SERIKALI ZA MITAA November 23, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHAJI VIFAA BAYOMETRIKI July 18, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 20, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • Mkurugenzi wa Uchaguzi Ndugu Ramadhani Kailima amewataka Maafisa Habari wa Mikoa na Halmashauri za Tanzania bara kuelimisha jamii kuhusu umuhimu wa kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.

    June 16, 2024
  • TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI SEHEMU YA PILI YA MPANGO HALMASHAURI YA WILAYA YA BIHARAMULO

    January 03, 2024
  • Waajiriwa wapya Division ya Afya na Elimu Juni, 2023

    June 07, 2023
  • MKUU WA MKOA WA KAGERA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI BIHARAMULO

    November 30, 2022
  • Tazama zaidi

Video

MBIO ZA MWENGE WA UHURU MWAKA 2022 WILAYANI BIHARAMULO
Video Zaidi

Kuarasa za Haraka

  • Historia

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Tovuti ya Manispaa ya Bukoba
  • Tovuti ya wilaya ya Muleba
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI)
  • Tovuti ya Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Kuwasiliana nasi

    Mtaa wa Bomani

    Sanduku la Barua: S.L.P 70

    Telephone: 028 2223403

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@biharamulodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya Biharamulo. Haki zote zimehifadhiwa