• Malalamiko |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Wafanyakazi |
Biharamulo District Council Website
Biharamulo District Council Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Misingi
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Ushirika na Umwagiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uasfi na Mazingira
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Furusa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba ya Vikao
    • Kamati za Kudumu
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Ofisi

Utumishi na Utawala


IDARA YA UTUMISHI NA UTAWALA NA MAJUKUMU YAKE 

Kubaini nafasi wazi zilizopo katika Halmashauri na kuratibu ujazaji wa nafasi hizo.
Kuratibu uthibitishwaji kazini wa watumishi kwa mujibu wa ya 14(1)&(7) ya  Kanuni za Utumishi wa Umma za mwaka 2003.
Kuratibu shughuli vyeo/madaraja watumishi wa Halmashauri kwa kuzingatia utendaji kazi wa watumishi, muda  aliotumikia  cheo/daraja alilonalo na sifa za kitaaluma alizonazo kadri ya muundo wa kada husika.
Kutunza kumbukumbu za kiutumishi za watumishi wote wa Halmashauri.

Kuhakiki mara kwa mara kumbukumbu za watumishi kwa mujibu wa kanuni ya 32(3) ya kanuni za utumishi wa Umma za mwaka 2003 kwa lengo la kubaini tarehe ya kustaafu ya kila mtumishi
Kuratibu usimamizi wa nidhani ya kazi ya watumishi na kuhakikisha kuwa hatua za kinidhamu dhidi ya watumishi zinafuata sheria na kanuni za Utumishi
Kuandaa ikama na Bajeti ya watumishi na mishahara ya kila mwaka.

Kuratinu ufanyikaji wa vikao vyote vya kisheria katika ngazi ya Halmashauri, Kata na Vijiji.
Kusimamia matumizi ya Mali za Halmashauri na kuhakikisha kuwa kumbukumbu ya mali hizi inatunzwa kadri ya matakwa ya randama ya Fedha ya Serikali za Mitaa ya mwaka 2009
Kusimamia matumizi ya magari ya Halmashauri.

Kuhakikisha kuwa upimaji wa utendaji kazi wa kila mtumishi unapimwa kwa njia ya OPRAS
Kuandaa taarifa mbalimbali za kiutumishi kwa kila robo mwaka na kuziwasilisha mamlaka husika (Kwa Katibu Tawala wa Mkoa, TAMISEMI na Tume ya Utumishi wa Umma)
Kuratibu ubainishaji wa mapungufu ya watumishi ya kiutendaji na kuaandaa mpango wa kujenga uwezo /mpango wa mafunzo
Kuhudhuria vikao vya kisheria vya Halmashauri.

MKUU WA IDARA EMILIAN R.RUGANAMULA .NO, SIMU 0783049049.

Matangazo

  • WALIOFAULU USAILI WA SENSA NA KUITWA KWENYE MAFUNZO July 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI November 30, 2021
  • UKUSANYAJI WA MAPATO YA HALMASHAURI YA WILAYA BIHARAMULO January 14, 2019
  • TANGAZO LA NAFASI WAZI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA July 10, 2019
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • Matokeo ya mashindano ya Uandishi wa Insha kwa Shule za Msingi na Sekondari juu ya Maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania Bara na miaka 59 ya Jamhuri, Wilaya ya Biharamulo.

    December 17, 2021
  • STENDI YA MABASI KATA YA KABINDI WILAYA YA BIHARAMULO YAZINDULIWA

    June 04, 2021
  • MKUU WA WILAYA YA BIHARAMULO AWAHAKIKISHIA WANANCHI WAKE ULINZI NA USALAMA KWA KIPINDI HIKI CHA SIKUKUU YA EID EL FITRI

    May 12, 2021
  • MKUU WA WILAYA YA BIHARAMULO AIPONGEZA MENEGIMENTI YA HALMASHAURI HIYO KWA USIMAMIZI MZURI WA UJENZI WA HOSPITALI

    May 07, 2021
  • Tazama zaidi

Video

UZINDUZI WA HIFADHI YA TAIFA BURIGI
Video Zaidi

Kuarasa za Haraka

  • Historia

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Tovuti ya Manispaa ya Bukoba
  • Tovuti ya wilaya ya Muleba
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI)
  • Tovuti ya Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Kuwasiliana nasi

    Mtaa wa Bomani

    Sanduku la Barua: S.L.P 70

    Telephone: 028 2223403

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@biharamulodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya Biharamulo. Haki zote zimehifadhiwa