i. Eneo liwe limepangwa
ii. Kiwanja kiwe kimepimwa na kupewa namba
iii. Kiwanja kiwe kinalipiwa
iv. Ofisi ya ardhi itatoa gharama za hati milki
v. Ofisi ya ardhi itaandaa rasmu ya hati na kuisainiwa na afisa ardhi mteule wa wilaya.
vi. Rasmu itapelekwa ofisi za kanda kwa ajili ya kupitishwa na kusajiriwa
vii. Kama mchakato umeenda vizuri hati inaweza kupatikana ndani ya mwezi mmoja
Mtaa wa Bomani
Sanduku la Barua: S.L.P 70
Telephone: 028 2223403
Simu ya Mkononi:
Barua Pepe: ded@biharamulodc.go.tz
Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya Biharamulo. Haki zote zimehifadhiwa