• Malalamiko |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Wafanyakazi |
Biharamulo District Council Website
Biharamulo District Council Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Misingi
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Ushirika na Umwagiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uasfi na Mazingira
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Furusa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba ya Vikao
    • Kamati za Kudumu
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Ofisi

MKUU WA WILAYA YA BIHARAMULO AWAHAKIKISHIA WANANCHI WAKE ULINZI NA USALAMA KWA KIPINDI HIKI CHA SIKUKUU YA EID EL FITRI

Posted on: May 12th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Biharamulo Mkoa wa Kagera Kanali Mathias Kahabi awahakikishia Wananchi na Waislamu wote  kwamba Vyombo vya  Ulinzi na Usalama  vimejipanga vizuri kuhakikisha wanasherehekea Sikukuu  ya Eid katika hali ya utulivu na Amani.

Ameyasema hayo leo may 12, 2021 ofisini kwake wakati akitoa taarifa fupi ya hali ya Ulinzi na Usalama kuelekea Sikukuu ya Eid El Fitri. 

Kahabi anawasisitiza Wananchi wasiwe na hofu viongonzi wote wa Vyombo vya ulinzi na Usalama wamejipanga vema kuhakikisha Usalama unaimalishwa katika kipindi chote cha Sikukuu na baada ya Sikukuu. Pia anawaomba viongozi wote wa Serikali, viongozi wa Dini pamoja na Wananchi, mtu yeyote atakayepata taarifa za mipango yoyote ya kihalifu asisite kutoa taarifa kwa Vyombo vya Ulinzi na Usalama.

Vilevile amesemma Serikali inatambua umuhimu mkubwa wa viongozi wa Dini hasa katika kudumisha Amani kwenye Taifa latu. Tunaendelea kuwaomba viongozi wa Dini msichoke kuhubiri Amani, Upendo na utulivu katika nchi yetu ya Tanzania.

“Nawasihi wazazi wote wa Wilaya ya Biharamulo kuwa waangalifu zaidi kwa watoto wasiwaache peke yao katika kipindi cha Sikukuu ya Eid El Fitri bila uangalizi wa watu wazima ili kuepusha matatizo kama ya ajali na matukio ya kupotea”, Amesisitiza Kahabi.

Hatavyo, anaomba kuwatakia Sikukuu njema ya Eid El Fitri Waislamu na Wananchi wote wa Wilaya ya Biharamulo. Pia ametoa rai kwamba wayaendeleze yale mema yote waliyoyapata wakati wa mfungo wa Mwezi mtukufu wa Ramadhani.

Imeandaliwa na Kitengo cha Habari na Mawasiliano cha Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo




Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI November 30, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 30, 2021
  • UKUSANYAJI WA MAPATO YA HALMASHAURI YA WILAYA BIHARAMULO January 14, 2019
  • TANGAZO LA NAFASI WAZI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA July 10, 2019
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • Matokeo ya mashindano ya Uandishi wa Insha kwa Shule za Msingi na Sekondari juu ya Maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania Bara na miaka 59 ya Jamhuri, Wilaya ya Biharamulo.

    December 17, 2021
  • STENDI YA MABASI KATA YA KABINDI WILAYA YA BIHARAMULO YAZINDULIWA

    June 04, 2021
  • MKUU WA WILAYA YA BIHARAMULO AWAHAKIKISHIA WANANCHI WAKE ULINZI NA USALAMA KWA KIPINDI HIKI CHA SIKUKUU YA EID EL FITRI

    May 12, 2021
  • MKUU WA WILAYA YA BIHARAMULO AIPONGEZA MENEGIMENTI YA HALMASHAURI HIYO KWA USIMAMIZI MZURI WA UJENZI WA HOSPITALI

    May 07, 2021
  • Tazama zaidi

Video

UZINDUZI WA HIFADHI YA TAIFA BURIGI
Video Zaidi

Kuarasa za Haraka

  • Historia

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Tovuti ya Manispaa ya Bukoba
  • Tovuti ya wilaya ya Muleba
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI)
  • Tovuti ya Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Kuwasiliana nasi

    Mtaa wa Bomani

    Sanduku la Barua: S.L.P 70

    Telephone: 028 2223403

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@biharamulodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya Biharamulo. Haki zote zimehifadhiwa