• Malalamiko |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Wafanyakazi |
Biharamulo District Council Website
Biharamulo District Council Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Misingi
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Divisheni
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Ushirika na Umwagiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Miundombinu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uasfi na Mazingira
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Furusa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba ya Vikao
    • Kamati za Kudumu
  • Miradi
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mapato na Matumizi Robo ya Tatu
    • Jarida la eGA Toleo 6 na 9
    • Bajeti ya Mwaka 2023-2024
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Mkutano wa Baraza la Madiwani
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Ofisi

MKUU WA WILAYA YA BIHARAMULO AWAHAKIKISHIA WANANCHI WAKE ULINZI NA USALAMA KWA KIPINDI HIKI CHA SIKUKUU YA EID EL FITRI

Posted on: May 12th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Biharamulo Mkoa wa Kagera Kanali Mathias Kahabi awahakikishia Wananchi na Waislamu wote  kwamba Vyombo vya  Ulinzi na Usalama  vimejipanga vizuri kuhakikisha wanasherehekea Sikukuu  ya Eid katika hali ya utulivu na Amani.

Ameyasema hayo leo may 12, 2021 ofisini kwake wakati akitoa taarifa fupi ya hali ya Ulinzi na Usalama kuelekea Sikukuu ya Eid El Fitri. 

Kahabi anawasisitiza Wananchi wasiwe na hofu viongonzi wote wa Vyombo vya ulinzi na Usalama wamejipanga vema kuhakikisha Usalama unaimalishwa katika kipindi chote cha Sikukuu na baada ya Sikukuu. Pia anawaomba viongozi wote wa Serikali, viongozi wa Dini pamoja na Wananchi, mtu yeyote atakayepata taarifa za mipango yoyote ya kihalifu asisite kutoa taarifa kwa Vyombo vya Ulinzi na Usalama.

Vilevile amesemma Serikali inatambua umuhimu mkubwa wa viongozi wa Dini hasa katika kudumisha Amani kwenye Taifa latu. Tunaendelea kuwaomba viongozi wa Dini msichoke kuhubiri Amani, Upendo na utulivu katika nchi yetu ya Tanzania.

“Nawasihi wazazi wote wa Wilaya ya Biharamulo kuwa waangalifu zaidi kwa watoto wasiwaache peke yao katika kipindi cha Sikukuu ya Eid El Fitri bila uangalizi wa watu wazima ili kuepusha matatizo kama ya ajali na matukio ya kupotea”, Amesisitiza Kahabi.

Hatavyo, anaomba kuwatakia Sikukuu njema ya Eid El Fitri Waislamu na Wananchi wote wa Wilaya ya Biharamulo. Pia ametoa rai kwamba wayaendeleze yale mema yote waliyoyapata wakati wa mfungo wa Mwezi mtukufu wa Ramadhani.

Imeandaliwa na Kitengo cha Habari na Mawasiliano cha Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo




Matangazo

  • TANGAZO KUHUSU UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA August 30, 2024
  • TANGAZO LA KUSHIRIKI UCHACUZI WA SERIKALI ZA MITAA November 23, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHAJI VIFAA BAYOMETRIKI July 18, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 20, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • Mkurugenzi wa Uchaguzi Ndugu Ramadhani Kailima amewataka Maafisa Habari wa Mikoa na Halmashauri za Tanzania bara kuelimisha jamii kuhusu umuhimu wa kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.

    June 16, 2024
  • TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI SEHEMU YA PILI YA MPANGO HALMASHAURI YA WILAYA YA BIHARAMULO

    January 03, 2024
  • Waajiriwa wapya Division ya Afya na Elimu Juni, 2023

    June 07, 2023
  • MKUU WA MKOA WA KAGERA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI BIHARAMULO

    November 30, 2022
  • Tazama zaidi

Video

MBIO ZA MWENGE WA UHURU MWAKA 2022 WILAYANI BIHARAMULO
Video Zaidi

Kuarasa za Haraka

  • Historia

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Tovuti ya Manispaa ya Bukoba
  • Tovuti ya wilaya ya Muleba
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI)
  • Tovuti ya Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Kuwasiliana nasi

    Mtaa wa Bomani

    Sanduku la Barua: S.L.P 70

    Telephone: 028 2223403

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@biharamulodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya Biharamulo. Haki zote zimehifadhiwa