• Malalamiko |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Wafanyakazi |
Biharamulo District Council Website
Biharamulo District Council Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Misingi
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Divisheni
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Ushirika na Umwagiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Miundombinu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uasfi na Mazingira
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Furusa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba ya Vikao
    • Kamati za Kudumu
  • Miradi
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mapato na Matumizi Robo ya Tatu
    • Jarida la eGA Toleo 6 na 9
    • Bajeti ya Mwaka 2023-2024
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Mkutano wa Baraza la Madiwani
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Ofisi

MKUU WA WILAYA YA BIHARAMULO AWATAKA VIONGOZI KUSIMAMIA ULINZI NA USALAMA

Posted on: April 13th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Biharamulo Mkoa wa Kagera, Kanali Mathias Kahabi amewaagiza viongozi wa vijiji kusimamia ulinzi na usalama katika maeneo yao husika ili kuweza kuondoa muingiliano wa raia wa kigeni wanaoingia nchini bila utaratibu maalumu.

Ameyasema hayo katika ukumbi wa shule ya msingi Biharamulo 13/04/2021 wakati akitoa mafunzo kazi kwa viongozi wa ngazi ya kata, vijiji na tarafa jinsi ya kuzitatua na kuzipokea  kero za wananchi.

Amewataka viongozi wote kutumia vizuri dhamana ambayo wamepewa na serikali katika majukumu yao ,kwa kutumia kauli nzuri na busara wakati wa kutatua kero na changamoto ambazo wanapokea kutoka kwa wananchi pia kuonesha upendo na ushirikiano ili kuweza kuondoa uvunjifu wa amani katika jamii.

“Kila siku ya jumanne ofisi zote za watendaji wa vijiji wanatakiwa kupokea na kutatua kero za wananchi ili kuondoa migogororo ambayo inaweza kuleta uvunjifu wa amani kwa jamii”, amesema Kahabi.

 Pia Kahabi amewataka watendaji wa vijiji na kata kila baada ya miezi mitatu kufanya mikutano ya kisheria na wananchi ili kujua kero zao na kuzitatua,

Nae, Kamanda wa TAKUKURU Wilaya ya Biharamulo  Siaba Ilumbo, amewaagiza watendaji wote wa kata na vijiji kuacha tamaa za kupokea na kuomba  ruswa hali ambayo inawanyima haki wananchi wanyonge.

Kwa upande wake kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo Dr Sospiter Mashamba amesema watendaji wanatakiwa kutumia busara  wakati wanapokusanya mapato ya Serikali.

Mwenyekiti wa kijiji cha Rusenga kata ya Kalenge Paskali Mbungani, amesema wapo tayari kuzipokea na kuzitatua kero na changamoto mbalimbali za wananchi ambazo zinapelekea uvunjifu wa amani katika jamii.

Imeandaliwa na Kitengo cha Habari na Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo


Matangazo

  • TANGAZO KUHUSU UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA August 30, 2024
  • TANGAZO LA KUSHIRIKI UCHACUZI WA SERIKALI ZA MITAA November 23, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHAJI VIFAA BAYOMETRIKI July 18, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 20, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • Mkurugenzi wa Uchaguzi Ndugu Ramadhani Kailima amewataka Maafisa Habari wa Mikoa na Halmashauri za Tanzania bara kuelimisha jamii kuhusu umuhimu wa kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.

    June 16, 2024
  • TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI SEHEMU YA PILI YA MPANGO HALMASHAURI YA WILAYA YA BIHARAMULO

    January 03, 2024
  • Waajiriwa wapya Division ya Afya na Elimu Juni, 2023

    June 07, 2023
  • MKUU WA MKOA WA KAGERA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI BIHARAMULO

    November 30, 2022
  • Tazama zaidi

Video

MBIO ZA MWENGE WA UHURU MWAKA 2022 WILAYANI BIHARAMULO
Video Zaidi

Kuarasa za Haraka

  • Historia

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Tovuti ya Manispaa ya Bukoba
  • Tovuti ya wilaya ya Muleba
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI)
  • Tovuti ya Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Kuwasiliana nasi

    Mtaa wa Bomani

    Sanduku la Barua: S.L.P 70

    Telephone: 028 2223403

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@biharamulodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya Biharamulo. Haki zote zimehifadhiwa