• Malalamiko |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Wafanyakazi |
Biharamulo District Council Website
Biharamulo District Council Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Misingi
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Divisheni
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Ushirika na Umwagiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Miundombinu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uasfi na Mazingira
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Furusa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba ya Vikao
    • Kamati za Kudumu
  • Miradi
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mapato na Matumizi Robo ya Tatu
    • Jarida la eGA Toleo 6 na 9
    • Bajeti ya Mwaka 2023-2024
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Mkutano wa Baraza la Madiwani
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Ofisi

Mwenge wa Uhuru umezindua Mradi wa Maji na vyumba viwili vya madarasa Wilayani Biharamulo

Posted on: October 6th, 2022

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2022, Ndg. Sahili Nyanzabara Geraruma amewasihi wakazi wa Wilaya ya

Biharamulo kuunga mkono juhudi za Rais Samia Suluhu Hassankwa kuunganisha huduma ya maji katika nyumba zao na hii ndio

itakuwa maana halisi ya kumtua mama ndoo kichwani.

Akizungumuza na wananchi leo mara baada ya kuzindua mradi wa maji Ruganzu, uliopo Kata ya Nyanza, Wilaya ya Bihalamulo wenye thamani ya shilingi milioni 114.3

Mwenge wa Uhuru umezindua Mradi wa Maji Ruganzu na vyumba viwili vya madarasa Shule ya Wasichana Kagango kwa fedha za UVICO-19

Miradi miwili imewekwa jiwe la msingi ambayo ni Mradi wa barabara ya lami, Rukaragata-Kibamba kilometa moja na Kituo cha Afya cha Bisibo kwa fedha za Tozo.

Sambamba na kukagua shughuli za lishe, umekagua mapambano dhidi ya malaria,mapambano ya dawa za kulevya na kuzindua klabu ya wapinga rushwa shule ya Sekondari Nyakanazi.

Aidha, Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa amewataka wataalam wanaosimamia miradi ya Serikali kuhakikisha wanafuata taratibu na maelekezo ya

matumizi ya fedha kama vile miongozoinavyowaelekeza ili miradi iwe yenye tija na yenye manufaa kwa wananchi.

Mwenge wa Uhuru umepokelewa leo tarehe Oktoba 6,2022 Mkoani Kagera utakagua, kutembelea na kuzindua jumla ya miradi 37 yenye thamani ya shilingi bilioni 13.6 katika sekta za Afya, Elimu, Maji, Barabara na miradi ya watu binafsi kwaHalmashauri nane.



Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA BIHARAMULO May 30, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHAJI VIFAA BAYOMETRIKI July 18, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 20, 2024
  • Tangazo la utoaji wa Mikopo ya Halmasahauri October 08, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • Mkurugenzi wa Uchaguzi Ndugu Ramadhani Kailima amewataka Maafisa Habari wa Mikoa na Halmashauri za Tanzania bara kuelimisha jamii kuhusu umuhimu wa kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.

    June 16, 2024
  • TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI SEHEMU YA PILI YA MPANGO HALMASHAURI YA WILAYA YA BIHARAMULO

    January 03, 2024
  • Waajiriwa wapya Division ya Afya na Elimu Juni, 2023

    June 07, 2023
  • MKUU WA MKOA WA KAGERA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI BIHARAMULO

    November 30, 2022
  • Tazama zaidi

Video

MBIO ZA MWENGE WA UHURU MWAKA 2022 WILAYANI BIHARAMULO
Video Zaidi

Kuarasa za Haraka

  • Historia

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Tovuti ya Manispaa ya Bukoba
  • Tovuti ya wilaya ya Muleba
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI)
  • Tovuti ya Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Kuwasiliana nasi

    Mtaa wa Bomani

    Sanduku la Barua: S.L.P 70

    Telephone: 028 2223403

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@biharamulodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya Biharamulo. Haki zote zimehifadhiwa