• Malalamiko |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Wafanyakazi |
Biharamulo District Council Website
Biharamulo District Council Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Misingi
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Divisheni
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Ushirika na Umwagiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Miundombinu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uasfi na Mazingira
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Furusa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba ya Vikao
    • Kamati za Kudumu
  • Miradi
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mapato na Matumizi Robo ya Tatu
    • Jarida la eGA Toleo 6 na 9
    • Bajeti ya Mwaka 2023-2024
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Mkutano wa Baraza la Madiwani
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Ofisi

TASAF YALIPA ZAIDI YA TSH MILIONI 233 KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BIHARAMULO

Posted on: April 22nd, 2021

Mwezeshaji wa TASAF wa Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo Mkoa wa Kagera Leonidas Rwezaura amewataka walengwa wa TASAF kukata bima ya afya kwa kutumia malipo wanayolipwa ili kuweza kupunguza gharama kubwa ambazo wanatumia hospital kwa matibabu.

Rwezaura ameyasema malengo ya TASAF katika Wilaya ya Biharamulo ni kuhakikisha wananusuru kaya masikini  kati ya walengwa 5649 katika vijiji 50 ambavyo vimepewa zaidi ya Tsh, milioni 233.

 “ Viongozi wa kaya watoe taarifa kamili katika  mahudhurio ya shule na kliniki ili kuepusha kupunguzwa kwa malipo wanayopokea”,Amesema Rwezaura.

Nae, mwezeshaji wa TASAF Wilaya ya Biharamulo James Ndyanabo  amesisitiza kwenye familia lazima kuwe na ushirikiano na mshikamano ambao utaweza kusaidia matumizi mazuri ya mpango kwa walengwa.

Kwa upande wake Mtendaji wa Kijiji cha Kasuno Kata ya Nyamahanga, Wolfrem Magroce, amesema mara baada ya malipo kufanyika huwa wanaenda  kumtembelea  kila mmoja nyumbani kwake ili kujiridhisha kama hayo maendeleo wanayoyasema wameyatekeleza

 Mwenyekiti wa Kjiji cha Nyabusozi Kata ya Nyabusozii Dominick Antoni, amesema kabla ya zoezi la malipo walienda kujiridhisha kuwa maendeleo ambayo wananchi wao wamefanya kupitia mpango wa TASAF nikweli wamefanya maendeleo makubwa sana katika vijiji tofauti ambavyo vinawalengwa.

Mkazi wa Kijiji cha Nyabusozi  Konsolata Rikado mwenye familia ya watoto saba, amesema TASAF imemsaidia sana katika maisha yake ya kawaida ameweza kununua bati nane ambazo amejengea nyumba yake na matumizi ya watoto shuleni anashukuru sana kwa msaada ambao wanaupata kutoka kwenye malipo ya TASAF.

Nae, Fortunatusi Paulo mkazi wa Kijiji cha Kasuno, amesema kupitia TASAF ameweza kununua baiskeli moja, shamba heka moja, kuku watano na bati kumi haya ni matunda ambayo ameyapata kutoka katika malipo ya TASAF.

Imeandaliwa na Kitengo cha Habari na Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo




Matangazo

  • TANGAZO KUHUSU UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA August 30, 2024
  • TANGAZO LA KUSHIRIKI UCHACUZI WA SERIKALI ZA MITAA November 23, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHAJI VIFAA BAYOMETRIKI July 18, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 20, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • Mkurugenzi wa Uchaguzi Ndugu Ramadhani Kailima amewataka Maafisa Habari wa Mikoa na Halmashauri za Tanzania bara kuelimisha jamii kuhusu umuhimu wa kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.

    June 16, 2024
  • TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI SEHEMU YA PILI YA MPANGO HALMASHAURI YA WILAYA YA BIHARAMULO

    January 03, 2024
  • Waajiriwa wapya Division ya Afya na Elimu Juni, 2023

    June 07, 2023
  • MKUU WA MKOA WA KAGERA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI BIHARAMULO

    November 30, 2022
  • Tazama zaidi

Video

MBIO ZA MWENGE WA UHURU MWAKA 2022 WILAYANI BIHARAMULO
Video Zaidi

Kuarasa za Haraka

  • Historia

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Tovuti ya Manispaa ya Bukoba
  • Tovuti ya wilaya ya Muleba
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI)
  • Tovuti ya Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Kuwasiliana nasi

    Mtaa wa Bomani

    Sanduku la Barua: S.L.P 70

    Telephone: 028 2223403

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@biharamulodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya Biharamulo. Haki zote zimehifadhiwa