Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo anawatangazia wananchi wote raia wa Tanzania kuwa
Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo inauza viwanja katika maeneo ya Nyakanazi kama ifuatavyo:
(a) Mwombaji atalazimika kujaza fomu ya maombi ambayoinapatikana Idara ya Fedha-Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo
kwa kiasi cha Tsh. 20,000/= kwa kila kiwanja. Fedha hiyo haitarejeshwa.
(b) Mwombaji anaruhusiwa kukagua ramani na kwenda kuonyeshwa viwanja site na kuchagua kiwanja anachotaka.
(c) Mwombaji anatakiwa kulipa gharama za ununuzi baada ya kupewa control number ya kulipia kutoka Idara
ya Fedha kadri atakavyopewa ancra ya malipo kulingana na ukubwa na matumizi ya kiwanja alichochagua.
(d) Malipo yote yafanyike na kukamilika ndani ya kipindi kisichozidi miezi mitatu.
(e) Kwamba malipo atakayolipia yanajumuisha na gharama za umilikishaji.
(f) Bei ya kiwanja itategemea ukubwa wa kiwanja na matumizi husika katika mchanganuo ufuatao:-
Nyote mnakaribishwa
Tangazo hili limetolewa na:
Waziri K. Kombo
Mkurugenzi Mtendaji (W) Biharamulo
Bofya hapa kupakua Tangazo uuzaji wa viwanja.pdf
Mtaa wa Bomani
Sanduku la Barua: S.L.P 70
Telephone: 028 2223403
Simu ya Mkononi:
Barua Pepe: ded@biharamulodc.go.tz
Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya Biharamulo. Haki zote zimehifadhiwa