• Malamiko |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Wafanyakazi |
Biharamulo District Council Website
Biharamulo District Council Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Misingi
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Ujenzi
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
    • Ratiba ya vikao
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali

Elimu Msingi

IDARA YA ELIMU MSINGI NA MAJUKUMU YAKE

Kuwakilisha Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi na katika ngazi zote

Kufafanua na kusimamia utekelezaji wa sera ya Elimu na mafunzo, sheria na kanuni katika Elimu ya Watu Wazima na ufundi stadi

Kumshauri Mkurugenzi wa Halmashauri kuhusu masuala ya Elimu

Kuthibiti matumizi ya fedha za elimu kwa mujibu wa miongozo ya fedha za Serikali

Kushughulikia upanuzi wa elimu katika ngazi ya elimu ya awali,Elimu ya Msingi,Elimu ya Sekondari na Mafunzo ya ualimu, Elimu ya watu wazima na vituo vya ufundi stadi.

Kufuatilia kwa madhumuni ya kutathmini maendeleo ya Elimu katika Wilaya

Kutayarisha na kusimamia utekelezaji wa mipango ya maendeleo ya Elimu kila mwaka

Kuhakikisha kwamba shule zote zinaboresha mazingira ya kufundishia

Kuhimiza uthibiti wa nidhamu ya walimu na wanafunzi Wilayani

Kuratibu na kusimamia mitihani ya Darasa la nne,darasa la saba mafunzo ya ualimu na mitihani ya vituo vya ufundi stadi katika wilaya kwa kushirikiana na uongozi wa elimu Mkoa na Baraza la mitihani Tanzania

Kufuatilia taarifa za utekelezaji wa taarifa za ukaguzi wa shule na vyuo

Kusimamia maendeleo ya taaluma na Michezo katika Wilaya

Kukusanya, kuratibu na kuchambua takwimu za elimu katika wilaya kwa ajili ya Mipango ya Maendeleo katika ngazi ya Shule.Wlaya, Mkoa na Taifa.

Kusimamia upanuzi wa elimu Sekondari katika Halmashauri

KAIMU MKUU WA IDARA JESSY PAUL  .NO, SIMU 0714118454

Matangazo

  • UUZAJI WA VIWANJA KATIKA MAENEO YA NYAKANAZI November 13, 2020
  • KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2019
  • UKUSANYAJI WA MAPATO YA HALMASHAURI YA WILAYA BIHARAMULO January 14, 2019
  • TANGAZO LA NAFASI WAZI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA July 10, 2019
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • MKUU WA WILAYA YA BIHARAMULO AWATAKA VIONGOZI KUSIMAMIA ULINZI NA USALAMA

    April 14, 2021
  • MKUU WA MKOA WA KAGERA AKAGUA MIRADI MITATU YA MAENDELEO BIHARAMULO

    March 10, 2021
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    January 30, 2021
  • Waziri wa Tawala za Mikoa na Serilikali za Mitaa TAMISEMI

    January 07, 2021
  • Tazama zaidi

Video

UZINDUZI WA HIFADHI YA TAIFA BURIGI
Video Zaidi

Kuarasa za Haraka

  • Historia

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Tovuti ya Manispaa ya Bukoba
  • Tovuti ya wilaya ya Muleba
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI)
  • Tovuti ya Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Kuwasiliana nasi

    Mtaa wa Bomani

    Sanduku la Barua: S.L.P 70

    Telephone: 028 2223403

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@biharamulodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya Biharamulo. Haki zote zimehifadhiwa