• Malalamiko |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Wafanyakazi |
Biharamulo District Council Website
Biharamulo District Council Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Misingi
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Divisheni
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Ushirika na Umwagiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Miundombinu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uasfi na Mazingira
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Furusa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba ya Vikao
    • Kamati za Kudumu
  • Miradi
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mapato na Matumizi Robo ya Tatu
    • Jarida la eGA Toleo 6 na 9
    • Bajeti ya Mwaka 2023-2024
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Mkutano wa Baraza la Madiwani
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Ofisi

HALMASHAURI YA WILAYA YA BIHARAMULO YATOA MKOPO ZAIDI YA TSH MILIONI 97

Posted on: April 29th, 2021

Mkuu wa idara ya Maendelo ya Jamii wa Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo Mkoa wa Kagera, Mwema Doto Salum amewataka wanavikundi kuwa na usimamizi mzuri wa miradi ambayo wameombea mkopo huo pia kuwa waaminifu katika matumizi mazuri ya fedha iliyotolewa  na serikali zaidi Tsh Milioni 97.

Ameyasema hayo 28/4/2021 kabla ya kuanza zoezi la kusainisha mkataba wa mkopo wa robo ya tatu katika vikundi maalum vya kiuchumi na kijamii kwa wanawake, vijana, na watu wenye ulemavu. Mkopo huo unatokana na  makusanyo ya asilimia kumi ya ndani ya Halmashauri na  kutoa kwa vikundi 25, vikundi vya wanawake ni 17, vijana 6 na vikundi vya wenye ulemavu ni viwili kutoka  kata sita ambazo ni Nyarubungo, Biharamulo mjini, Lusahunga, Ruziba, Bisibo na nyakahura.

"Nimuhumu kila kikundi kutunza kumbukumbu katika miradi yao wanayoifanya na kabla ya kuchukua Mkopo ambao wameomba na kikundi kikapata pungufu mna uhuru wa kukataa na kupata ushauri na utaratibu wa kufanya ili waweze kukizi vigezo vya kupata wanacho kitaka".Amesema Salum.

Nae, Afisa vijana wa Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo Godfrey Kajungu amesisitiza kuhusu marejesho ya pesa hizo ni muhim Sana kwa sababu itawasaidia kutoa Mkopo kwa watu wengine wenye uhitaji hata na wao wamepata kutokana na marejesho ya watu wengine ambao wameshapata Mkopo huo na wanavikundi kujiepusha na matumizi ya pesa yasiyo ya lazima na kufanya malengo yaliyowafanya kuomba mkopo huo.

  wanavikundi kujiepusha na matimizi ya pesa yasiyo ya lazima na kufanya malengo yaliyowafanya kuomba mkopo huo.

Nae, karibu wa kikundi Cha (UWABI) umojawa wa wanawake Bisibo Geralidina Daudi amesema wanashukuru wao Kama kikundi Cha watu 16 wameweza kufanya Maendelo mbalimbali ya  kufuga kuku na kila mwanakiku ameweza kunufaika na mradi huo

Kwa upande wake katibu wa kikundi Cha watu wenye ulemavu kutoka kata ya Bisibo amesema wao wameweza kununua mbuzi nane, walio Jenga katika kikundi chao ni watu watano na walio nunua baisikeli ni watu watatu na matarajio yao kwa mkopo watakao upata awamu hii ni kununua mbuzi 16 na kununua mazao ya nafaka kwa ajiri ya biashara.

Imeandaliwa na Kitengo cha Habari na Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo


Matangazo

  • TANGAZO KUHUSU UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA August 30, 2024
  • TANGAZO LA KUSHIRIKI UCHACUZI WA SERIKALI ZA MITAA November 23, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHAJI VIFAA BAYOMETRIKI July 18, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 20, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • Mkurugenzi wa Uchaguzi Ndugu Ramadhani Kailima amewataka Maafisa Habari wa Mikoa na Halmashauri za Tanzania bara kuelimisha jamii kuhusu umuhimu wa kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.

    June 16, 2024
  • TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI SEHEMU YA PILI YA MPANGO HALMASHAURI YA WILAYA YA BIHARAMULO

    January 03, 2024
  • Waajiriwa wapya Division ya Afya na Elimu Juni, 2023

    June 07, 2023
  • MKUU WA MKOA WA KAGERA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI BIHARAMULO

    November 30, 2022
  • Tazama zaidi

Video

MBIO ZA MWENGE WA UHURU MWAKA 2022 WILAYANI BIHARAMULO
Video Zaidi

Kuarasa za Haraka

  • Historia

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Tovuti ya Manispaa ya Bukoba
  • Tovuti ya wilaya ya Muleba
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI)
  • Tovuti ya Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Kuwasiliana nasi

    Mtaa wa Bomani

    Sanduku la Barua: S.L.P 70

    Telephone: 028 2223403

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@biharamulodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya Biharamulo. Haki zote zimehifadhiwa