• Malalamiko |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Wafanyakazi |
Biharamulo District Council Website
Biharamulo District Council Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Misingi
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Ushirika na Umwagiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uasfi na Mazingira
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Furusa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba ya Vikao
    • Kamati za Kudumu
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Ofisi

Matokeo ya mashindano ya Uandishi wa Insha kwa Shule za Msingi na Sekondari juu ya Maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania Bara na miaka 59 ya Jamhuri, Wilaya ya Biharamulo.

Posted on: December 17th, 2021

UCHAMBUZI WA INSHA NGAZI YA ELIMU MSINGI.

Mada ya mashindano "Mbinu zilizotumika katika harakati za kupatikana kwa Uhuru wa Tanzania Bara"

Idadi ya Kata zilizowasilisha ni 15. Ambazo ni  Katahoka, Kabindi, Nemba, Nyabusozi, Bisibo, Runazi, Nyakahura, Nyamigogo, Nyarubungo, Biharamulo Mjini, Ruziba, Nyantakara, Nyamahanga,Lusahunga na Kalenge.  Zisizowasilisha ni Kata 2. Ambazo ni Nyanza na Kaniha. Kila Kata imewasilisha Insha ya mshindi mmoja, ambapo Insha zote zimesomwa na kujadiliwa na kamati. Baadae ilionekana mshindi mmoja kutoka Kata ya Biharamulo mjini ,shule ya msingi Umoja B. ambaye ni msichana jina lake ni BRITNEY IMAN MZUNGU darasa la sita. Bofya  hapa kupakua Insha yake

UCHAMBUZI WA INSHA NGAZI YA SEKONDARI KIDATO CHA KWANZA HADI CHA TATU.
Mada ya mashindano "Maeandeleo ya Tanzania baada ya Uhuru"
Idadi ya Kata zilizowasilisha ni 11.

Ambazo ni Katahoka,Ruziba, Nemba, Kabindi, Lusahunga,Biharamulo Mjini, Nyamahanga, Nyabusozi, Runazi,Nyarubungo,Na Nyakahura. Ambazo Hazikuwasilisha Ni Kata 6. Ambazo Ni, Bisibo,  Nyamigogo,Kaniha,Nyanza ,Kalenge Na Nyantakara. Kila kata imewasilisha Insha ya mshindi mmoja, ambapo Insha zote zimesomwa na kujadiliwa na kamati.
 Mshindi amepatatikana kutoka Kata ya Nyarubungo Shule ya Sekondari Biharamulo,  jina lake ni NESTORY HANDSON CHILEMEJI mvulana  kidato cha tatu. Bofya  hapa kupakua Insha yake

UCHAMBUZI WA INSHA NGAZI YA KIDATO CHA TANO NA SITA.
Mada ya mashindano "Nafasi ya vijana katika kulinda na kudumisha Uhuru wa Taifa"
Idadi ya Kata zenye kidato cha tano na sita ni 5, zilizowasilisha Insha ni Kata nne, ambazo ni Nyarubungo ,Nyakahura,Biharamulo Mjini na Nyantakara. Isiyowasilisha ni Kata ya Kaniha.
Insha zote zimesomwa na kujadiliwa na mshindi ametoka Kata ya Biharamulo mjini, jina lake FLORENT ADAM FLORENT mvulana,kutoka shule ya Sekondari Kagango, kidato cha sita. Bofya hapa kupakua Insha yake

Matangazo

  • Mapokezi ya Fedha kutoka Serikali 31-10-2023 November 02, 2023
  • Mapokezi ya Fedha Tshs. Bilioni 2.6 kutoka Serikali Kuu October 30, 2023
  • Mapokezi ya Fedha kutoka Serikali 31-08-2023 September 01, 2023
  • Mapokezi ya Fedha ya Ruzuku kutoka Serikali Kuu 28-09-2022 October 18, 2022
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • Waajiriwa wapya Division ya Afya na Elimu Juni, 2023

    June 07, 2023
  • MKUU WA MKOA WA KAGERA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI BIHARAMULO

    November 30, 2022
  • UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO KWA KIPINDI CHA ROBO YA KWANZA (JULAI – SEPTEMBA ) KWA MWAKA WA FEDHA 2022/2023

    November 18, 2022
  • Mwenge wa Uhuru umezindua Mradi wa Maji na vyumba viwili vya madarasa Wilayani Biharamulo

    October 06, 2022
  • Tazama zaidi

Video

MBIO ZA MWENGE WA UHURU MWAKA 2022 WILAYANI BIHARAMULO
Video Zaidi

Kuarasa za Haraka

  • Historia

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Tovuti ya Manispaa ya Bukoba
  • Tovuti ya wilaya ya Muleba
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI)
  • Tovuti ya Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Kuwasiliana nasi

    Mtaa wa Bomani

    Sanduku la Barua: S.L.P 70

    Telephone: 028 2223403

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@biharamulodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya Biharamulo. Haki zote zimehifadhiwa