• Malalamiko |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Wafanyakazi |
Biharamulo District Council Website
Biharamulo District Council Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Misingi
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Divisheni
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Ushirika na Umwagiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Miundombinu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uasfi na Mazingira
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Furusa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba ya Vikao
    • Kamati za Kudumu
  • Miradi
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mapato na Matumizi Robo ya Tatu
    • Jarida la eGA Toleo 6 na 9
    • Bajeti ya Mwaka 2023-2024
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Mkutano wa Baraza la Madiwani
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Ofisi

MKUU WA WILAYA YA BIHARAMULO AWATAKA MADIWANI KUSIMAMIA MAPATO YAKUSANYWE KWA NJIA YA MFUMO

Posted on: April 30th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Biharamulo Mkoa wa Kagera, Kanali Mathias Kahabi awataka Madiwani kuhamasisha wananchi kuchangia fedha kwa ajili ya maendeo ya jamii na sio kukusanya kwa manufaa yao binafisi pia kufatiria miradi yote inayojengwa katika Kata zao kama inafanyika kwa wakati.

Maagizo hayo ameyatoa katika kikao cha Baraza la Madiwani ambalo limefanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo 30/4/2021.

Kahabi amewaagiza Madiwa wahakikishe makusanyo yote ya ndani ya Halmashauri yanakusanywa kwa PoS ili iwasaidie kujua asilimia ya mapato katika Halmashauri imefika kiwango gani pia amewataka madiwani wa Kata tisa ambao makusanyo yao yapo chini sana kuongeza juhudi.

“Lazima tuhoji ninani aliyetufikisha hapa hadi kupata hati chafu katika mapato na Wilaya yetu kuwa ya mwisho Kimkoa”, Amesema Kahabi.

Nae Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo Waziri K. Kombo,ametoa maagizo kwa watendaji ambao wanakusanya mapato bila PoS wakibainika watachukuliwa hatua za kisheria kwa sababu utaratibu uliowekwa na serikali makusanyo yote yanatakiwa kukusanywa kwa njia ya PoS.

“Kuelekea kumaliza mwaka wa fedha hadi sasa Halmashauri imeingiza mapato kwa asilimia 81 ikiwa ni robo ya tatu ya mwaka wa fedha 2020/21, tumepiga hatua kubwa sana kuliko mwaka uliopita tulikusanya asilimia 63”, Amesema Kombo.

Hata hivyo amewapongeza wasaidizi wake kwa kuongeza juhudi hadi kufikia hatua hii waliopo kwa sasa pia kuwashukuru Madiwani kwa ushirikiano wa kuhamasisha mapato.

Imeandaliwa na Kitengo cha Habari na Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo



Matangazo

  • TANGAZO KUHUSU UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA August 30, 2024
  • TANGAZO LA KUSHIRIKI UCHACUZI WA SERIKALI ZA MITAA November 23, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHAJI VIFAA BAYOMETRIKI July 18, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 20, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • Mkurugenzi wa Uchaguzi Ndugu Ramadhani Kailima amewataka Maafisa Habari wa Mikoa na Halmashauri za Tanzania bara kuelimisha jamii kuhusu umuhimu wa kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.

    June 16, 2024
  • TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI SEHEMU YA PILI YA MPANGO HALMASHAURI YA WILAYA YA BIHARAMULO

    January 03, 2024
  • Waajiriwa wapya Division ya Afya na Elimu Juni, 2023

    June 07, 2023
  • MKUU WA MKOA WA KAGERA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI BIHARAMULO

    November 30, 2022
  • Tazama zaidi

Video

MBIO ZA MWENGE WA UHURU MWAKA 2022 WILAYANI BIHARAMULO
Video Zaidi

Kuarasa za Haraka

  • Historia

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Tovuti ya Manispaa ya Bukoba
  • Tovuti ya wilaya ya Muleba
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI)
  • Tovuti ya Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Kuwasiliana nasi

    Mtaa wa Bomani

    Sanduku la Barua: S.L.P 70

    Telephone: 028 2223403

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@biharamulodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya Biharamulo. Haki zote zimehifadhiwa