• Malalamiko |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Wafanyakazi |
Biharamulo District Council Website
Biharamulo District Council Website

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Mikakati
    • Maadili ya Misingi
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Divisheni
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi na Maliasili
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Ushirika na Umwagiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Miundombinu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uasfi na Mazingira
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Furusa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba ya Vikao
    • Kamati za Kudumu
  • Miradi
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mapato na Matumizi Robo ya Tatu
    • Jarida la eGA Toleo 6 na 9
    • Bajeti ya Mwaka 2023-2024
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Mkutano wa Baraza la Madiwani
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Ofisi

UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO KWA KIPINDI CHA ROBO YA KWANZA (JULAI – SEPTEMBA ) KWA MWAKA WA FEDHA 2022/2023

Posted on: November 18th, 2022

Kwa mwaka wa fedha wa 2022/23 Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo ililenga kukusanya na kutumia jumla ya Tsh. 13,536,392,000 kwa ajili ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo na Programu mbalimbali kwa mchanganuo ufuatao.

i.    Fedha za ndani Tsh. 7,593,958,000 ,

ii.    Fedha za (Nje) wafadhili ni Tsh 5,189,155,000 na

iii.    Fedha ya  Mapato ya ndani Tsh 753,280,000.

Hadi kufikia mwezi Septemba, 2022 Halmashauri imepokea kiasi cha Tsh. 4, 877, 973,151.00 kwa ajili ya utekelezaji wa Miradi na Program mbalimbali za Maendeleo ikiwa ni sawa na asilimia 36.04 ya Bajeti iliyoidhinishwa. Aidha hadi kufikia mwezi Septemba 2022 kiasi cha Tshs 2,333,915,376.15 kimetumika katika utekelezaji wa miradi ya Maendeleo na Programu mbalimbali ikiwa ni sawa na asilimia 47.85 ya fedha zilizopokelewa.


Aidha kiasi cha Tsh 2,266,129,754.60/= kimepokelewa nje ya Bajeti kwa ajili ya utekelezaji wa miradi/shughuli zifutazo;

i.    Ujenzi wa vyumba 91 vya madarasa shule za sekondari,

ii.    Usimamizi wa shughuli za chanjo ya Polio,

iii.    Ujenzi wa Shule mpya ya Msingi Nyakanazi

iv.    Ujenzi wa bweni shule ya Sekondari na

v.    Upandaji wa Miti

Mchanganuo wa fedha zilizopokelewa na matumizi yake ni kama inavyooneshwa kwenye Jedwali hapo chini;

Na
Mfuko /jina la Mradi
Fedha iliyoidhinishwa 2022/2023
Fedha iliyopokelewa hadi Septemba,  2022
Fedha iliyotumika
Asilimia ya fedha iliyotolewa
Asilimia ya fedha iliyotumika
1
Elimu Bure Msingi
a) Capitation
725,220,000
166,972,776.68
166,972,776.68
23
100
b) Chakula
193,401,000
28,961,503.37
28,961,503.37
15
100
c) Posho ya Madaraka Walimu Wakuu na waratibu
288,600,000
71,950,000.00
71,950,000.00
24.9
100
d) Gharama za Mitihani (Darasa la IIV na VI)
420,318,000
420,318,000
198,313,000
100
47.2

Jumla - Ndogo    1,627,539,000
1,627,539,000
688,202,280.05
466,197,280.05
42.3
100
2
Elimu Bure Sekondari
a) Capitation    

199,412,000
47,477,966.48
47,477,966.48
23.81
100
b) Fidia ya Ada Kutwa
262,700,000
61,691,165.47
61,691,165.47
23.48
100
c) Chakula cha wanafunzi
1,521,720,000
379,399,473.15
379,399,473.15
24.93
100
Posho ya Madaraka Wakuu wa shule
60,000,000
15,000,000.00
15,000,000.00
25.00
100
e) Gharama za Mitihani (Kidato cha II , IV na VI)
386,611,000
302,642,000.00
302,642,000.00
78.28
100

Jumla - Ndogo
2,430,443,000
806,210,605.10
806,210,605.10
33.17
100
3
Ujenzi wa matundu ya vyoo – Msingi
187,000,000




4
Ukamilishaji wa Madarasa shule za Msingi
156,250,000




5
Ujenzi wa Madarasa shule Kongwe za Msingi
180,000,000




6
Ujenzi wa Shule Mpya ya Msingi
800,000,000




7
Ujenzi wa  uzio bweni la Watoto wenye mahitaji maalum
30,000,000




8
Programmu ya  USAFI  –  Msingi - SRWASS
310,000,000




9
Ujenzi wa Nyumba Shule za Msingi
200,000,000




10
Ukamilishaji wa Maabara za Sekondari
120,000,000




11
Ukamilishaji wa Mabweni  - Sekondari
20,000,000




12
Ukamilishaji wa Zahanati (S/Kuu)
50,000,000




13
Ujenzi wa Hospitali ya Wilaya
750,000,000




14
Ununuzi wa Vifaa Tiba Hospitali ya Wilaya na Vituo vya Afya
250,000,000




15
Global Fund
8,273,000




16
Mfuko wa Pamoja (HBF)
672,485,000




17
Usajiri wa Watoto – UNICEF
87,477,000




18
E-P4R
1,290,000,000




19
Vaccination – GAVI Chanjo
113,031,000




20
SEQUIP – Sekondari
573,000,000




21
Programm  ya  USAFI – AFYA – SRWASS
334,000,000




22
Mradi Mikakati SGRP- Parking
700,000,000




23
TASAF
1,800,889,000
925,918,397.00
919,227,897
51.41
99.28
24
Mfuko wa Jimbo – CDCF
92,725,000




25
MAPATO YA NDANI
753,280,000
199,412,114.00
150,179,594
26.47
75.31
26
Ujenzi wa vyumba vya madarasa

1,820,000,000.00



27
Ujenzi wa Shule Mpya – EP4R

250,000,000.00



28
Shughuli za Polio

64,385,250.00



29
Ujenzi wa Bweni

100,000,000.00



30
Mfuko wa Misitu – Upandaji Miti

31,744,504.60




JUMLA
13,536,392,000
4,877,973,151
2,333,915,376.15
36.04
47.85


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA BIHARAMULO May 30, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHAJI VIFAA BAYOMETRIKI July 18, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 20, 2024
  • Tangazo la utoaji wa Mikopo ya Halmasahauri October 08, 2024
  • Tazama zaidi

Habari mpya

  • Mkurugenzi wa Uchaguzi Ndugu Ramadhani Kailima amewataka Maafisa Habari wa Mikoa na Halmashauri za Tanzania bara kuelimisha jamii kuhusu umuhimu wa kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.

    June 16, 2024
  • TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI SEHEMU YA PILI YA MPANGO HALMASHAURI YA WILAYA YA BIHARAMULO

    January 03, 2024
  • Waajiriwa wapya Division ya Afya na Elimu Juni, 2023

    June 07, 2023
  • MKUU WA MKOA WA KAGERA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI BIHARAMULO

    November 30, 2022
  • Tazama zaidi

Video

MBIO ZA MWENGE WA UHURU MWAKA 2022 WILAYANI BIHARAMULO
Video Zaidi

Kuarasa za Haraka

  • Historia

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Tovuti ya Manispaa ya Bukoba
  • Tovuti ya wilaya ya Muleba
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI)
  • Tovuti ya Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Kuwasiliana nasi

    Mtaa wa Bomani

    Sanduku la Barua: S.L.P 70

    Telephone: 028 2223403

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@biharamulodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya Biharamulo. Haki zote zimehifadhiwa